Makala yangu
Nina makala ambayo nimeandika leo asubuhi. Hii simalizi, lakini ningependa kutuma gazeti kabla ya kwenda Cote d'Ivoire. Nafikiri kwamba ninaweza! Hakuna shida. Makala haya ni kuhusu chakula cha nyani.
Asubuhi hii pia, paka wangu walipigana. Nimejaribu kuwazuia, lakini ni wabaya sana. Baadaye, mimi na mpenzi wangu tulikula chakula cha Mexico kusherekea siku ya uhuru wao, Tarehe tano wa Mwezi wa Tano!
Kesho, nitarudi chuoni kuandika zaidi... rafiki yangu ataondoka kwenda Mombasa na Diani kwa wiki mbili. Ninatumaini ninaweza kurudi pwani ya Kenya siku moja ...