Seif
Kwa wanaojifunza kiswahili Najua kuna watu wanapenda kujifunza Kiswahili. Msijali na karibuni sana, naweza nikawasaidia. Tutasaidiana na tutafika tuu msijali
Feb 14, 2015 12:16 PM
Corrections · 4
Naishi Dar, ila nipo Mwanza kwa sasa.
March 2, 2015
unaishi wapi?
February 23, 2015
poa usijali
February 18, 2015
kaka yangu,mambo vipi,unaishi wapi?tutaweza ku onana?unaweza ku saidie mm kujifunza kiswahilli?
February 16, 2015
Want to progress faster?
Join this learning community and try out free exercises!