sea.piglet
Ninaandika kwa Kiswahili Nilipokuwa shulani nilisoma vitabu vyingi uongeze maarifa ya historia. Alipokuwa Nairobi alikula vitunguu kidogo. Leo nitakapokuwa kazini nitafanya vitu vyingi. Paka wetu alipokuwa wadogo tulicheza na yeye. Mimi huandika kila siku niongeze maarifa ya Kiswahili. Tutakapokwenda Tanzania tunasudia kusema Kiswahili kila siku.
Oct 12, 2015 1:19 PM
Corrections · 2
1

Ninaandika kwa Kiswahili

Nilipokuwa shuleni nilisoma vitabu vingi kuongeza maarifa ya historia.
Nilipokuwa Nairobi nilikula vitunguu kidogo.
Leo nitakapokuwa kazini nitafanya vitu vyingi.
Paka wetu alipokuwa mdogo tulicheza na yeye.
Mimi huandika kila siku niongeze maarifa ya Kiswahili.
Tutakapokwenda Tanzania tunakusudia kusema Kiswahili kila siku.
April 18, 2016

Ninaandika kwa Kiswahili

Nilipokuwa shuleni shulani nilisoma vitabu vyingi ili niongeze uongeze maarifa ya historia.
Alipokuwa Nairobi alikula vitunguu kidogo.
Leo nitakapokuwa kazini nitafanya vitu vyingi.
Paka wetu walipokuwa wadogo tulicheza na nao yeye.
Mimi huandika kila siku niongeze maarifa ya Kiswahili.
Tutakapokwenda Tanzania tunakusudia kuongea kusema Kiswahili kila siku.
February 26, 2016
Want to progress faster?
Join this learning community and try out free exercises!