Hadithi Yangu
Mimi nilizaliwa katika mtaa wa Buffalo, New York na nilikula katika Syracuse, New York. Nina kaka wadogo na dada mmoja mdogo. Wakati nilikuwa na miaka minane, babu yangu aliugua ugonjwa wa mshtuko wa moyo. Hivyo niliamua kwamba mimi nitakuwa daktari. Mimi ni daktari wa tumbo kwa sababu utaratibu wake ni sawa na michezo ya video. Nimekuwa Kenya kwa mara tatu na nitarudi aprili ijayo. Nimefanya kazi katika Hospitali ya Tenwek mara nyingi. Napenda kuzungumza na wagonjwa kwa Kiswahili lakini si vizuri sana. Mke wangu nami tuna binti mmoja na mvulana mmoja. Kwa muda wa mapumziko nafurahia uvuvi, lugha, na kuteleza barafuni kwa kipungu. Ningependa kujifunza zaidi Kiswahili.