Seif
Hivi humu ndani hakuna anayejifunza Kiswahili???

Inaonyesha wanaojifunza kiswahili wanajificha sanaa.

 

 

Hebu jiongezeni msiogope saana Waswahili tupo tutawasaidia.

18 mars 2015 16:13
Commentaires · 8
1

Najua)

25 mai 2015
1

Ahsante, rafiki 

25 mai 2015
1

poa)

25 mai 2015
1

hujambo rafiki yangu?)

22 mai 2015

poa

 

26 mai 2015
Afficher plus