Nevin Janzen
Yote kunihusu Hamjamboni, jina langu ni Daudi Zekaria (jina la Kiswahili nililojipa mwenyewe) na mimi ni shabiki wa lugha. Natoka mkoa wa Alberta, Kanada na nimekuwa nikijifunza Kiswahili (Kawaida/Tanzania) kwa karibu miezi mitano. Ningependa kujifunza Kiesperanto pia katika mwaka ujao. Tu kama wewe, nina shauku ya kuwasiliana na watu wa tamaduni na lugha mbalimbali. Nikiwatakia mema kabisa, Daudi
31 Ara 2013 03:38
Düzeltmeler · 1
congratulations Daudi your Swahili is proper. enjoy Swahili Languege, karibu Tanzania.
16 Ocak 2014
Daha hızlı mı ilerlemek istiyorsun?
Bu öğrenme topluluğuna katıl ve ücretsiz alıştırmaları dene!