ابحث بين معلمي الإنجليزية المتعددين...
zachariah getubo
مدرّس
JE WAJUA??

Wajua kwamba kuna tofauti kati ya maneno haya mawili>

Neno kuwa na neno kua>

Kuwa ni kitenzi kisaidizi, pia ni kitenzi cha silabi moja ambacho huongezwa silabi >KU  ili kuleta maana ya kutokea katika hali fulani au mahali fulani. Kwa mfano > Alikuwa darasani.

                                                 >Amekuwa akilima.

KUA ni kitenzi ambacho kinamaanisha > kuongezeka kwa binadamu katika kimo urefu na hata kunenepa.

Kwa mfano                           >Amekua mrefu.

                                                 >Amekua mnene.


٢ أغسطس ٢٠١٨ ٠٨:٠١
التعليقات · 2
1
Asante kwa maelezo
٨ أغسطس ٢٠١٨
Karibu Malaika
٨ أغسطس ٢٠١٨

لا تفوّت فرصة تعلّم لغة جديدة وأنت مرتاح في منزلك. تصفّح مجموعتنا المختارة من مدرّسي اللغات ذوي الخبرة وسجّل في درسك الأول الآن!