Seif
Kwa wanaojifunza kiswahili Najua kuna watu wanapenda kujifunza Kiswahili. Msijali na karibuni sana, naweza nikawasaidia. Tutasaidiana na tutafika tuu msijali
14 feb. 2015 12:16
Correcties · 4
Naishi Dar, ila nipo Mwanza kwa sasa.
2 maart 2015
unaishi wapi?
23 februari 2015
poa usijali
18 februari 2015
kaka yangu,mambo vipi,unaishi wapi?tutaweza ku onana?unaweza ku saidie mm kujifunza kiswahilli?
16 februari 2015
Wil je sneller vooruitgang boeken?
Word nu lid van deze leer-community en probeer de gratis oefeningen uit!