zachariah getubo
Lektor ze społeczności
JE WAJUA??

Wajua kwamba kuna tofauti kati ya maneno haya mawili>

Neno kuwa na neno kua>

Kuwa ni kitenzi kisaidizi, pia ni kitenzi cha silabi moja ambacho huongezwa silabi >KU  ili kuleta maana ya kutokea katika hali fulani au mahali fulani. Kwa mfano > Alikuwa darasani.

                                                 >Amekuwa akilima.

KUA ni kitenzi ambacho kinamaanisha > kuongezeka kwa binadamu katika kimo urefu na hata kunenepa.

Kwa mfano                           >Amekua mrefu.

                                                 >Amekua mnene.


2 sie 2018 08:01
Komentarze · 2
1
Asante kwa maelezo
8 sierpnia 2018
Karibu Malaika
8 sierpnia 2018