Seif
Hivi humu ndani hakuna anayejifunza Kiswahili???

Inaonyesha wanaojifunza kiswahili wanajificha sanaa.

 

 

Hebu jiongezeni msiogope saana Waswahili tupo tutawasaidia.

18 mar 2015 16:13
Komentarze · 8
1

Najua)

25 maja 2015
1

Ahsante, rafiki 

25 maja 2015
1

poa)

25 maja 2015
1

hujambo rafiki yangu?)

22 maja 2015

poa

 

26 maja 2015
Pokaż więcej