Wajua kwamba kuna tofauti kati ya maneno haya mawili>
Neno kuwa na neno kua>
Kuwa ni kitenzi kisaidizi, pia ni kitenzi cha silabi moja ambacho huongezwa silabi >KU ili kuleta maana ya kutokea katika hali fulani au mahali fulani. Kwa mfano > Alikuwa darasani.
>Amekuwa akilima.
KUA ni kitenzi ambacho kinamaanisha > kuongezeka kwa binadamu katika kimo urefu na hata kunenepa.
Kwa mfano >Amekua mrefu.
>Amekua mnene.