Search from various angielski teachers...
[Deleted]
Sima ni chakula kinachotambulika zaidi nchini Kenya.
Sima pia huitwa ugali.
Hutayarishwa kwa kusonga unga wa mtama, mahindi au muhogo kwenye maji moto yaliyochemka.
Sima huliwa kwa kitoweo cha nyama ama mboga za majani aghalabu.
Uwapo na ugali na mboga, ijapokuwa mboga zaweza kuwa kidogo, utaona kama umekula vyema, Sima yajua kucheza na akili aisee 😁
Ujapo Kenya, usichelee kujaribu mlo huu uwezao kuliwa wakati wowote.
0:44
8 sie 2024 13:06
Artykuły, które również mogą ci się spodobać

How to Ask for a Raise or Promotion in English
9 głosy poparcia · 8 Komentarze

The Key to Learning a Language Faster
30 głosy poparcia · 8 Komentarze

Why "General English" is Failing Your Career (An Engineer’s Perspective)
30 głosy poparcia · 12 Komentarze
Więcej artykułów
