Search from various angielski teachers...
[Deleted]
Sima ni chakula kinachotambulika zaidi nchini Kenya. Sima pia huitwa ugali. Hutayarishwa kwa kusonga unga wa mtama, mahindi au muhogo kwenye maji moto yaliyochemka. Sima huliwa kwa kitoweo cha nyama ama mboga za majani aghalabu. Uwapo na ugali na mboga, ijapokuwa mboga zaweza kuwa kidogo, utaona kama umekula vyema, Sima yajua kucheza na akili aisee 😁 Ujapo Kenya, usichelee kujaribu mlo huu uwezao kuliwa wakati wowote.
0:44
8 sie 2024 13:06

Nie przegap okazji, by nauczyć się języka w zaciszu własnego domu. Przejrzyj naszą ofertę doświadczonych korepetytorów i zapisz się na pierwszą lekcję już teraz!