Выбрать из множества учителей по предмету английский...
zachariah getubo
Репетитор сообществаJE WAJUA??
Wajua kwamba kuna tofauti kati ya maneno haya mawili>
Neno kuwa na neno kua>
Kuwa ni kitenzi kisaidizi, pia ni kitenzi cha silabi moja ambacho huongezwa silabi >KU ili kuleta maana ya kutokea katika hali fulani au mahali fulani. Kwa mfano > Alikuwa darasani.
>Amekuwa akilima.
KUA ni kitenzi ambacho kinamaanisha > kuongezeka kwa binadamu katika kimo urefu na hata kunenepa.
Kwa mfano >Amekua mrefu.
>Amekua mnene.
2 авг. 2018 г., 8:01
zachariah getubo
Языковые навыки
английский, итальянский, другой, суахили
Изучаемый язык
итальянский
Статьи, которые тебе могут быть интересны

Santa, St. Nicholas, or Father Christmas? How Christmas Varies Across English-Speaking Countries
3 нравится · 0 Комментариев

Reflecting on Your Progress: Year-End Language Journal Prompts
1 нравится · 0 Комментариев

Same Word, Different Meaning: American, British, and South African English
25 нравится · 17 Комментариев
Еще статьи
