Выбрать из множества учителей по предмету английский...
zachariah getubo
JE WAJUA??
Wajua kwamba kuna tofauti kati ya maneno haya mawili>
Neno kuwa na neno kua>
Kuwa ni kitenzi kisaidizi, pia ni kitenzi cha silabi moja ambacho huongezwa silabi >KU ili kuleta maana ya kutokea katika hali fulani au mahali fulani. Kwa mfano > Alikuwa darasani.
>Amekuwa akilima.
KUA ni kitenzi ambacho kinamaanisha > kuongezeka kwa binadamu katika kimo urefu na hata kunenepa.
Kwa mfano >Amekua mrefu.
>Amekua mnene.
2 авг. 2018 г., 8:01
zachariah getubo
Языковые навыки
английский, итальянский, другой, суахили
Изучаемый язык
итальянский
Статьи, которые тебе могут быть интересны

How to Ask for a Raise or Promotion in English
9 нравится · 8 Комментариев

The Key to Learning a Language Faster
30 нравится · 8 Комментариев

Why "General English" is Failing Your Career (An Engineer’s Perspective)
30 нравится · 12 Комментариев
Еще статьи
