Nevin Janzen
Yote kunihusu Hamjamboni, jina langu ni Daudi Zekaria (jina la Kiswahili nililojipa mwenyewe) na mimi ni shabiki wa lugha. Natoka mkoa wa Alberta, Kanada na nimekuwa nikijifunza Kiswahili (Kawaida/Tanzania) kwa karibu miezi mitano. Ningependa kujifunza Kiesperanto pia katika mwaka ujao. Tu kama wewe, nina shauku ya kuwasiliana na watu wa tamaduni na lugha mbalimbali. Nikiwatakia mema kabisa, Daudi
31 дек. 2013 г., 3:38
Исправления · 1
congratulations Daudi your Swahili is proper. enjoy Swahili Languege, karibu Tanzania.
16 января 2014 г.
Вы хотите продвигаться быстрее?
Присоединяйтесь к этому обучающему сообществу и попробуйте выполнить бесплатные упражнения!