Find English Teachers
Mutai Ralph
Malipo katika lugha ya kiswahili
. Kiokozi/kombozi: Malipo ya kukombolea kitu kilichotekwa nyara au kunyakuliwa.
. Urithi: Mali yaachwayo na hayati na kupewa mtu fulani.
. Rehani: Malipo ya kitu kilichowekwa dhamana ili kikombolewe baadaye.
. Pango: Kodi ya nyumba au chumba anayolipa mpangaji kila mwezi au baada ya muda fulani. Honoraria: malipo/ pesa kama bakshishi kwa kufanya kazi maalum.
Jun 29, 2018 10:04 AM
Mutai Ralph
Language Skills
English, Spanish, Swahili
Learning Language
Spanish
Articles You May Also Like

The Power of Storytelling in Business Communication
44 likes · 9 Comments

Back-to-School English: 15 Must-Know Phrases for the Classroom
31 likes · 6 Comments

Ten Tourist towns in Portugal that nobody remembers
59 likes · 23 Comments
More articles