Search from various English teachers...
zachariah getubo
Community TutorJE WAJUA??
Wajua kwamba kuna tofauti kati ya maneno haya mawili>
Neno kuwa na neno kua>
Kuwa ni kitenzi kisaidizi, pia ni kitenzi cha silabi moja ambacho huongezwa silabi >KU ili kuleta maana ya kutokea katika hali fulani au mahali fulani. Kwa mfano > Alikuwa darasani.
>Amekuwa akilima.
KUA ni kitenzi ambacho kinamaanisha > kuongezeka kwa binadamu katika kimo urefu na hata kunenepa.
Kwa mfano >Amekua mrefu.
>Amekua mnene.
Aug 2, 2018 8:01 AM
zachariah getubo
Language Skills
English, Italian, Other, Swahili
Learning Language
Italian
Articles You May Also Like

Santa, St. Nicholas, or Father Christmas? How Christmas Varies Across English-Speaking Countries
3 likes · 0 Comments

Reflecting on Your Progress: Year-End Language Journal Prompts
1 likes · 0 Comments

Same Word, Different Meaning: American, British, and South African English
25 likes · 17 Comments
More articles
