Search from various English teachers...
zachariah getubo
JE WAJUA??
Wajua kwamba kuna tofauti kati ya maneno haya mawili>
Neno kuwa na neno kua>
Kuwa ni kitenzi kisaidizi, pia ni kitenzi cha silabi moja ambacho huongezwa silabi >KU ili kuleta maana ya kutokea katika hali fulani au mahali fulani. Kwa mfano > Alikuwa darasani.
>Amekuwa akilima.
KUA ni kitenzi ambacho kinamaanisha > kuongezeka kwa binadamu katika kimo urefu na hata kunenepa.
Kwa mfano >Amekua mrefu.
>Amekua mnene.
Aug 2, 2018 8:01 AM
zachariah getubo
Language Skills
English, Italian, Other, Swahili
Learning Language
Italian
Articles You May Also Like

How to Ask for a Raise or Promotion in English
9 likes · 8 Comments

The Key to Learning a Language Faster
30 likes · 8 Comments

Why "General English" is Failing Your Career (An Engineer’s Perspective)
30 likes · 12 Comments
More articles
